Saturday, October 22, 2016
Wednesday, October 19, 2016
Chombo cha anga za juu cha Ulaya kutua Mars
Chombo cha anga za juu cha Ulaya Schiaparelli
kimefanikiwa kujitenga na "chombo mama" angani
na kwa sasa kinaelekea kwenye sayari ya Mars.
Chombo hicho kinatarajiwa kujaribu kutua kwenye
sayari hiyo Jumatano.
Chombo hicho cha uzani wa kilo 577 kilifanikiwa
kujitenganisha na chombo mama Jumapili saa
14:42 GMT (saa kumi na moja jioni saa za Afrika
Mashariki).
Mpango wa kupeleka watu wakaishi Mars
Mpango wa Marekani kupeleka watu Mars
Chombo hicho kitakuwa na muda wa chini ya
dakika sita kupunguza kasi yake ya kilomita
21,000 kwa saa kiasi cha kukiwezesha kutua
salama kwenye sayari hiyo.
Schiaparelli ni kifaa cha kufanyia majaribio
teknolojia, na lengo kuu ni kudhihirisha uwezo wa
Shirika la Anga za Juu la Ulaya (ESA) kutua katika
sayari hiyo.
Jaribio la awali la shirika hilo kutua katika sayari
hiyo lilifanyika mwaka 2003, kwa kutumia chombo
cha Uingereza cha Beagle-2.
Chombo hicho kilifanikiwa kutua salama lakini
kikashindwa kufungua mitambo yake ya kawi ya
jua vyema na hivyo mawasiliano yakakatika.
Chombo hicho kikifanikiwa kutua salama,
kitatumiwa kufanya uchunguzi kwenye sayari hiyo.
kimefanikiwa kujitenga na "chombo mama" angani
na kwa sasa kinaelekea kwenye sayari ya Mars.
Chombo hicho kinatarajiwa kujaribu kutua kwenye
sayari hiyo Jumatano.
Chombo hicho cha uzani wa kilo 577 kilifanikiwa
kujitenganisha na chombo mama Jumapili saa
14:42 GMT (saa kumi na moja jioni saa za Afrika
Mashariki).
Mpango wa kupeleka watu wakaishi Mars
Mpango wa Marekani kupeleka watu Mars
Chombo hicho kitakuwa na muda wa chini ya
dakika sita kupunguza kasi yake ya kilomita
21,000 kwa saa kiasi cha kukiwezesha kutua
salama kwenye sayari hiyo.
Schiaparelli ni kifaa cha kufanyia majaribio
teknolojia, na lengo kuu ni kudhihirisha uwezo wa
Shirika la Anga za Juu la Ulaya (ESA) kutua katika
sayari hiyo.
Jaribio la awali la shirika hilo kutua katika sayari
hiyo lilifanyika mwaka 2003, kwa kutumia chombo
cha Uingereza cha Beagle-2.
Chombo hicho kilifanikiwa kutua salama lakini
kikashindwa kufungua mitambo yake ya kawi ya
jua vyema na hivyo mawasiliano yakakatika.
Chombo hicho kikifanikiwa kutua salama,
kitatumiwa kufanya uchunguzi kwenye sayari hiyo.
Leicester City yang'ara UEFA
Klabu ya soka ya Leicester City imeendeleza wimbi
la ushindi katika michuano ya ligi ya mabingwa
barani Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa bao
1-0 dhidi ya FC Copenhagen.
Wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani King
Power, Leicester walipata bao hilo dakika tano
kabla ya kwenda mapumzikoni kupitia kwa Riyad
Mahrez aliyekuwa katika kiwango cha hali ya juu
baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mualgeria
mwenzake Islam Slimani.
Kwa matokeo hayo Leicester wanabaki kileleni
mwa kundi G wakiwa na alama 9 baada ya
kushinda michezo yote mitatu ya ufnguzi wa ligi
ya mabingwa Ulaya.
Timu pekee zilizowahi kushinda michezo mitatu ya
ufunguzi katika michuano hiyo ni AC Milan, Paris
St-Germain, Juventus na Malaga.
Matokeo mengine ya Ligi ya mabingwa barani
Ulaya
Bayer 04 Leverkusen 0-0 Tottenham Hotspur F.C.
CSKA Moscow 1-1 AS Monaco FC
Real Madrid 5-1 Legia Warsaw
Sporting 1 -2 Borussia Dortmund
Club Brugge 1-2 FC Porto
Dinamo Zagreb 0- 1 Sevilla
Lyon 0- 1 Juventus
la ushindi katika michuano ya ligi ya mabingwa
barani Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa bao
1-0 dhidi ya FC Copenhagen.
Wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani King
Power, Leicester walipata bao hilo dakika tano
kabla ya kwenda mapumzikoni kupitia kwa Riyad
Mahrez aliyekuwa katika kiwango cha hali ya juu
baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mualgeria
mwenzake Islam Slimani.
Kwa matokeo hayo Leicester wanabaki kileleni
mwa kundi G wakiwa na alama 9 baada ya
kushinda michezo yote mitatu ya ufnguzi wa ligi
ya mabingwa Ulaya.
Timu pekee zilizowahi kushinda michezo mitatu ya
ufunguzi katika michuano hiyo ni AC Milan, Paris
St-Germain, Juventus na Malaga.
Matokeo mengine ya Ligi ya mabingwa barani
Ulaya
Bayer 04 Leverkusen 0-0 Tottenham Hotspur F.C.
CSKA Moscow 1-1 AS Monaco FC
Real Madrid 5-1 Legia Warsaw
Sporting 1 -2 Borussia Dortmund
Club Brugge 1-2 FC Porto
Dinamo Zagreb 0- 1 Sevilla
Lyon 0- 1 Juventus
Tuesday, October 18, 2016
Wanasayansi kuundwa taifa jipya anga za juu
Kundi la wanasayansi mjini Vienna, Austria
wameanzisha mpango wa kuunda taifa la amani la
aina yake ambalo litakuwa na jina Asgardia.
Taifa hilo litaundwa katika anga za juu, eneo.
Maelezo kwenye tovuti ya wanasayansi hao
yanasema taifa hilo litakuwa nje ya udhibiti wa
mataifa yoyote ya sasa na litakuwa katika mzingo
wa dunia, eneo ambalo vyombo vya anga za juu
huzunguka dunia.
Wanasayansi hao wanapanga kurusha satelaiti ya
kwanza, ya kuanzisha taifa hilo, mwishoni mwa
mwaka ujao.
Mpango wa kupeleka watu wakaishi Mars
China yatuma wataalamu mzingo wa dunia
Matumaini ya wataalamu hao ni kwamba siku moja
hivi karibuni watatambuliwa na Umoja wa Mataifa.
Lakini baadhi ya wataalamu wanatilia shaka
uwezekano wa mpango huo kufanikiwa ikizingatiwa
kwamba sheria za kimataifa huzuia mataifa kudai
umiliki wa maeneo anga za juu.
"Raia" wa Asgardia, ambao watachunguzwa kwa
makini kabla ya kukubaliwa, mwishowe watapewa
hata pasipoti, anasema Lena de Winne, mmoja wa
maafisa wakuu wa mradi huo ambaye alifanya kazi
kwa miaka 15 katika Shirika la Anga za Juu la
Ulaya (EPA).
Mradi huo unaongozwa na shirika la Aerospace
International Research Center, ambalo lilianzishwa
na mwanasayansi Mrusi, ambaye pia ni
mfanyabiashara, Dkt Igor Ashurbeiyli.
Mashindano yanaandaliwa kuamua bendera na
wimbo wa taifa wa nchi hiyo mpya.
Profesa Sa'id Mosteshar, mkurugenzi wa Taasisi ya
Sera na Sheria za Anga za Juu ya London,
amesema itakuwa vigumu kwa Asgardia
kutambuliwa kama taifa ikizingatiwa kwamba
haitahusiana na taifa lolote linalojitawala duniani,
na pia 'raia wake' wengi watakuwa ardhini.
Tayari zaidi ya watu 50,000 wamewasilisha
maombi mtandaoni kutaka kuwa raia wa taifa hilo.j
wameanzisha mpango wa kuunda taifa la amani la
aina yake ambalo litakuwa na jina Asgardia.
Taifa hilo litaundwa katika anga za juu, eneo.
Maelezo kwenye tovuti ya wanasayansi hao
yanasema taifa hilo litakuwa nje ya udhibiti wa
mataifa yoyote ya sasa na litakuwa katika mzingo
wa dunia, eneo ambalo vyombo vya anga za juu
huzunguka dunia.
Wanasayansi hao wanapanga kurusha satelaiti ya
kwanza, ya kuanzisha taifa hilo, mwishoni mwa
mwaka ujao.
Mpango wa kupeleka watu wakaishi Mars
China yatuma wataalamu mzingo wa dunia
Matumaini ya wataalamu hao ni kwamba siku moja
hivi karibuni watatambuliwa na Umoja wa Mataifa.
Lakini baadhi ya wataalamu wanatilia shaka
uwezekano wa mpango huo kufanikiwa ikizingatiwa
kwamba sheria za kimataifa huzuia mataifa kudai
umiliki wa maeneo anga za juu.
"Raia" wa Asgardia, ambao watachunguzwa kwa
makini kabla ya kukubaliwa, mwishowe watapewa
hata pasipoti, anasema Lena de Winne, mmoja wa
maafisa wakuu wa mradi huo ambaye alifanya kazi
kwa miaka 15 katika Shirika la Anga za Juu la
Ulaya (EPA).
Mradi huo unaongozwa na shirika la Aerospace
International Research Center, ambalo lilianzishwa
na mwanasayansi Mrusi, ambaye pia ni
mfanyabiashara, Dkt Igor Ashurbeiyli.
Mashindano yanaandaliwa kuamua bendera na
wimbo wa taifa wa nchi hiyo mpya.
Profesa Sa'id Mosteshar, mkurugenzi wa Taasisi ya
Sera na Sheria za Anga za Juu ya London,
amesema itakuwa vigumu kwa Asgardia
kutambuliwa kama taifa ikizingatiwa kwamba
haitahusiana na taifa lolote linalojitawala duniani,
na pia 'raia wake' wengi watakuwa ardhini.
Tayari zaidi ya watu 50,000 wamewasilisha
maombi mtandaoni kutaka kuwa raia wa taifa hilo.j
Diamond na Harmonize washinda tuzo Marekani
Afrika Mashariki imekuwa na furaha kubwa wikendi
kwenye tuzo za kila mwaka za Jarida la mziki
Afrika, maarufu kama Afrimma Awards baada ya
wasanii wa Kenya na Tanzania kuzoa tuzo tofauti
kwenye hafla iliyofanyika Marekani wikendi.
Imekuwa ni ushindi mkubwa kwa Wasanii wa lebo
ya Wasafi kutoka Tanzania, Diamond Platnumz na
Harmonize walioibuka mabingwa kwenye vitengo
vyao.
Diamond alimshinda Mtanzania mwenzake, Ali Kiba
katika kitengo cha mwanamuziki bora wa kiume
Afrika Mashariki.
Harmonize, anayezidi kuvuma kwa wimbo wake wa
'Inde' aliomujmuisha Dully Sykes, akitunukiwa tuzo
ya Msanii mpya wa mwaka.
Diamond Platinumz: Usitosheke kuvuma
nyumbani pekee
Hata hivyo Diamond hakuweza kuhifadhi taji lake
la msanii bora wa mwaka aliloshinda mwaka wa
2015 kwani tuzo hiyo ilikwenda kwa Mnigeria
Falvour.
Kwa upande mwingine, Kenya ilipata tuzo tatu
kupitia Msanii wa nyimbo za injili, Willy Paul,
aliyeshinda kitengo cha msanii bora wa injili nalo
kundi la Sauti Soul likapewa tuzo ya kundi bora la
mwaka.
Mwanamuziki wa kike, Akothee, aliondoka na taji la
mwimbaji bora wa kike licha ya mashabiki kutishia
kutompigia kura.f
kwenye tuzo za kila mwaka za Jarida la mziki
Afrika, maarufu kama Afrimma Awards baada ya
wasanii wa Kenya na Tanzania kuzoa tuzo tofauti
kwenye hafla iliyofanyika Marekani wikendi.
Imekuwa ni ushindi mkubwa kwa Wasanii wa lebo
ya Wasafi kutoka Tanzania, Diamond Platnumz na
Harmonize walioibuka mabingwa kwenye vitengo
vyao.
Diamond alimshinda Mtanzania mwenzake, Ali Kiba
katika kitengo cha mwanamuziki bora wa kiume
Afrika Mashariki.
Harmonize, anayezidi kuvuma kwa wimbo wake wa
'Inde' aliomujmuisha Dully Sykes, akitunukiwa tuzo
ya Msanii mpya wa mwaka.
Diamond Platinumz: Usitosheke kuvuma
nyumbani pekee
Hata hivyo Diamond hakuweza kuhifadhi taji lake
la msanii bora wa mwaka aliloshinda mwaka wa
2015 kwani tuzo hiyo ilikwenda kwa Mnigeria
Falvour.
Kwa upande mwingine, Kenya ilipata tuzo tatu
kupitia Msanii wa nyimbo za injili, Willy Paul,
aliyeshinda kitengo cha msanii bora wa injili nalo
kundi la Sauti Soul likapewa tuzo ya kundi bora la
mwaka.
Mwanamuziki wa kike, Akothee, aliondoka na taji la
mwimbaji bora wa kike licha ya mashabiki kutishia
kutompigia kura.f
Mtangazaji aliyemhoji Trump afutwa kazi
Shirika la utangazaji la NBC nchini Marekani
limemfuta kazi mtangazaji Billy Bush ambaye
amekuwa akiendesha kipindi cha Today.
Mgombea urais wa chama cha Republican alikuwa
anahojiwa na Bw Bush miaka kumi iliyopita
alipotoa matamshi ya kudhalilisha kuhusu
wanawake.
Ukanda wa mahojiano hayo yaliyofanyika mwaka
2005 ulifichuliwa majuzi na gazeti la Washington
Post.
Mke wa Donald Trump ajitokeza kumtetea
Baada ya kufichuliwa kwa ukanda huo, viongozi
wengi wakuu wa chama cha Republican walijitenga
na Bw Trump ambayo yamezua utata.
Kwenye video hiyo, Bw Bush anasikika akicheka
baada ya matamshi ya Bw Trump.
Billy Bush, 45, ambaye ni mpwa wa rais wa zamani
George H W Bush, alikuwa awali amesimamishwa
kazi baada ya kufichuliwa kwa video hiyo.
Trump 'aliwapapasa wanawake kama pweza'
Amekuwa mtangazaji wa kipindi cha Today kwa
miezi miwili pekee.
"Ingawa alikuwa mgeni tu katika waandaaji wa
kipindi cha Today, amekuwa na NBC kwa muda
mrefu. Tunamtakia kila la heri," shirika la NBC
limesema kupitia taarifa.
Mke wa Donald Trump, Melania, amemshutumu Bw
Bush akisema alimchochea mumewe kusema
mambo mabaya kuwahusu wanawake.
Bw Bush mwenyewe aliomba radhi tarehe 7
Oktoba akisema binafsi pia aliaibishwa na tabia
yake alipokuwa akifanya mahojiano hayo.f
limemfuta kazi mtangazaji Billy Bush ambaye
amekuwa akiendesha kipindi cha Today.
Mgombea urais wa chama cha Republican alikuwa
anahojiwa na Bw Bush miaka kumi iliyopita
alipotoa matamshi ya kudhalilisha kuhusu
wanawake.
Ukanda wa mahojiano hayo yaliyofanyika mwaka
2005 ulifichuliwa majuzi na gazeti la Washington
Post.
Mke wa Donald Trump ajitokeza kumtetea
Baada ya kufichuliwa kwa ukanda huo, viongozi
wengi wakuu wa chama cha Republican walijitenga
na Bw Trump ambayo yamezua utata.
Kwenye video hiyo, Bw Bush anasikika akicheka
baada ya matamshi ya Bw Trump.
Billy Bush, 45, ambaye ni mpwa wa rais wa zamani
George H W Bush, alikuwa awali amesimamishwa
kazi baada ya kufichuliwa kwa video hiyo.
Trump 'aliwapapasa wanawake kama pweza'
Amekuwa mtangazaji wa kipindi cha Today kwa
miezi miwili pekee.
"Ingawa alikuwa mgeni tu katika waandaaji wa
kipindi cha Today, amekuwa na NBC kwa muda
mrefu. Tunamtakia kila la heri," shirika la NBC
limesema kupitia taarifa.
Mke wa Donald Trump, Melania, amemshutumu Bw
Bush akisema alimchochea mumewe kusema
mambo mabaya kuwahusu wanawake.
Bw Bush mwenyewe aliomba radhi tarehe 7
Oktoba akisema binafsi pia aliaibishwa na tabia
yake alipokuwa akifanya mahojiano hayo.f
Friday, October 14, 2016
Damu kusafirishwa na ndege zisizo na rubani Rwanda.
Damu kusafirishwa na ndege
zisizo na rubani Rwanda
Maeneo mengi ya Rwanda yana milima na
misitu hivyo huwa vigumu kusafiri kwa kutumia
barabara
Huduma ya kusafirisha damu na vifaa vingine
vya kimatibabu kwa kutumia ndege zisizo na
rubani, inazinduliwa leo nchini Rwanda.
Huduma hiyo ni ya kwanza ya aina yake
duniani.
Ndege zisizo na marubani zitakuwa zikipaa moja
kwa moja hadi eneo ambalo damu inahiajika
nchini Rwanda, na kisha kurejea kituoni.
Badala ya kutua ndipo ziwasilishe kifurushi
chenye damu, kifurushi hicho kitarushwa ardhini
salama kwa kutumia mwavuli au parachuti.
Teknolojia hiyo inaleta matumaini ya kuwasilisha
damu haraka na kwa njia salama ukilinganisha
na awali ambayo njia ya kutegemewa pekee
ilikuwa barabara, nyingi ambazo ambazo hali
yake ni mbaya.
Vifurushi vitakuwa vikirushwa ardhini kwa
kutumia mwavuli au parachuti. Ndege
hazitahitaji kutua.
Kampuni ya Marekani ya Zipline ndiyo
itakayoendesha mradi huo.
Wanaofanya kazi katika kampuni hiyo ni
wahandisi ambao awali walifanya kazi katika
kampuni maarufu za kiteknolojia kama vile
Space X, Google, na Lockheed Martin..
Mwanzoni, ndege hizo zitatumiwa kusafirisha
damu, maji ya damu na dutu inayogandisha
kioevu.
Ndege hizo zinaweza kuruka na kupaa zikiwa
futi 500 (mita 152) juu ya ardhi kuzuia
kugongana na ndege kubwa za kawaida
zinazobeba abiria na mizigo.
Ndege hizo zitakuwa zinahudumu eneo la umbali
wa hadi kilomita 150 (maili 93), ingawa zina
uwezo wa kwenda umbali maradufu ya umbali
huo.
Ndege hizo za Zipline zikirushwa angani kutoka
kwenye kambi iliyopo karibu na mji wa Kigali
Ndege hizo zinatumia nguvu za umeme kutoka
kwenye betri na hutumia teknolojia ya GPS
kuziongoza kufika maeneo yanayotakikana.
Zitakuwa zikituma maeleo kwa wahudumu
kwenye kambi ya ndege hizo na pia wahudumu
wasimamizi wa safari za ndege Rwanda kwa
kutumia teknolojia ya mawasiliano ya simu.
Kwa kuanza, ndege 15 zitakuwa zikifanya kazi.
Ndege hizo, ambazo kwa kifupi zinafahamika
kama 'Zip', zina uwezo wa kupitia hata kwenye
upepo wa kasi ya kilomita 30 kwa saa (19mph)
au mvua ndogo hali ikibidi.
Wakati wa kufanyiwa majaribio kwa teknolojia
hiyo, jeshi la Rwanda lilionesha kuvutiwa
Zipline italipwa na idara ya afya ya Rwanda kwa
kila safari itakayofanywa na ndege hizo.
Kampuni hiyo inasema gharama ya kila safari
moja ni karibu sawa na ya kutumia pikipiki au
ambiulensi.
Wahudumu wa afya wanasema kuomba huduma
ya Zipline kwa kutumia ujumbe mfupi
Ndege zisizo na rubani tayari zimetumiwa kwa
shughuli za kibinadamu kwingineko Afrika,
ikiwemo kusafirisha sampuli za damu na kinyesi
nchini Madagascar. Aidha, kuna mradi wa
Shirika la Msalaba Mwekundu unaotumiwa
kufuatilia shughuli kambi ya wakimbizi Uganda.
Lakini baadhi ya wafanyakazi wa mashirika ya
misaada wanasema ndege hizo mara nyingi
huwa hazifai.
"Upende usipende, ndege hizo mara nyingi
hudhaniwa kuwa ndege za kutekeleza
mashambulio au kufanya ujasusi," mmoja wa
wahudumu waliofanya kazi DR Congo aliambia
watafiti wa wakfu mmoja kutoka Uswizi.
Ingawa jeshi la Rwanda limeonekana kuvutiwa
na kazi ya Zipline, waziri wa teknolojia, habari
na mawasiliano Rwanda amesema hakuna
mipango yoyote kwa sasa kwa jeshi kutumia
teknolojia hiyo.
zisizo na rubani Rwanda
Maeneo mengi ya Rwanda yana milima na
misitu hivyo huwa vigumu kusafiri kwa kutumia
barabara
Huduma ya kusafirisha damu na vifaa vingine
vya kimatibabu kwa kutumia ndege zisizo na
rubani, inazinduliwa leo nchini Rwanda.
Huduma hiyo ni ya kwanza ya aina yake
duniani.
Ndege zisizo na marubani zitakuwa zikipaa moja
kwa moja hadi eneo ambalo damu inahiajika
nchini Rwanda, na kisha kurejea kituoni.
Badala ya kutua ndipo ziwasilishe kifurushi
chenye damu, kifurushi hicho kitarushwa ardhini
salama kwa kutumia mwavuli au parachuti.
Teknolojia hiyo inaleta matumaini ya kuwasilisha
damu haraka na kwa njia salama ukilinganisha
na awali ambayo njia ya kutegemewa pekee
ilikuwa barabara, nyingi ambazo ambazo hali
yake ni mbaya.
Vifurushi vitakuwa vikirushwa ardhini kwa
kutumia mwavuli au parachuti. Ndege
hazitahitaji kutua.
Kampuni ya Marekani ya Zipline ndiyo
itakayoendesha mradi huo.
Wanaofanya kazi katika kampuni hiyo ni
wahandisi ambao awali walifanya kazi katika
kampuni maarufu za kiteknolojia kama vile
Space X, Google, na Lockheed Martin..
Mwanzoni, ndege hizo zitatumiwa kusafirisha
damu, maji ya damu na dutu inayogandisha
kioevu.
Ndege hizo zinaweza kuruka na kupaa zikiwa
futi 500 (mita 152) juu ya ardhi kuzuia
kugongana na ndege kubwa za kawaida
zinazobeba abiria na mizigo.
Ndege hizo zitakuwa zinahudumu eneo la umbali
wa hadi kilomita 150 (maili 93), ingawa zina
uwezo wa kwenda umbali maradufu ya umbali
huo.
Ndege hizo za Zipline zikirushwa angani kutoka
kwenye kambi iliyopo karibu na mji wa Kigali
Ndege hizo zinatumia nguvu za umeme kutoka
kwenye betri na hutumia teknolojia ya GPS
kuziongoza kufika maeneo yanayotakikana.
Zitakuwa zikituma maeleo kwa wahudumu
kwenye kambi ya ndege hizo na pia wahudumu
wasimamizi wa safari za ndege Rwanda kwa
kutumia teknolojia ya mawasiliano ya simu.
Kwa kuanza, ndege 15 zitakuwa zikifanya kazi.
Ndege hizo, ambazo kwa kifupi zinafahamika
kama 'Zip', zina uwezo wa kupitia hata kwenye
upepo wa kasi ya kilomita 30 kwa saa (19mph)
au mvua ndogo hali ikibidi.
Wakati wa kufanyiwa majaribio kwa teknolojia
hiyo, jeshi la Rwanda lilionesha kuvutiwa
Zipline italipwa na idara ya afya ya Rwanda kwa
kila safari itakayofanywa na ndege hizo.
Kampuni hiyo inasema gharama ya kila safari
moja ni karibu sawa na ya kutumia pikipiki au
ambiulensi.
Wahudumu wa afya wanasema kuomba huduma
ya Zipline kwa kutumia ujumbe mfupi
Ndege zisizo na rubani tayari zimetumiwa kwa
shughuli za kibinadamu kwingineko Afrika,
ikiwemo kusafirisha sampuli za damu na kinyesi
nchini Madagascar. Aidha, kuna mradi wa
Shirika la Msalaba Mwekundu unaotumiwa
kufuatilia shughuli kambi ya wakimbizi Uganda.
Lakini baadhi ya wafanyakazi wa mashirika ya
misaada wanasema ndege hizo mara nyingi
huwa hazifai.
"Upende usipende, ndege hizo mara nyingi
hudhaniwa kuwa ndege za kutekeleza
mashambulio au kufanya ujasusi," mmoja wa
wahudumu waliofanya kazi DR Congo aliambia
watafiti wa wakfu mmoja kutoka Uswizi.
Ingawa jeshi la Rwanda limeonekana kuvutiwa
na kazi ya Zipline, waziri wa teknolojia, habari
na mawasiliano Rwanda amesema hakuna
mipango yoyote kwa sasa kwa jeshi kutumia
teknolojia hiyo.
Blog hii itakuwa na app iv pundee,,karbu tuyajengee
Blog Hii Itakuwa Na App Iv Pundeee, ina kusogezea matukio,musc,mov" soka za kila aina kutoka ndani ya Nchi na Nje,,karbu sana wadau wangu,, Jtaid kuview""my bio Asante Sanaaaa Na karbu Tuyajenge
R.i.p Samsung Galaxy note 7/ TCRA Yapiga malufuku ya uuzaji wa Samsung Galaxy note 7hapa Nchini,,,
imepiga marufuku uingizaji na usambazaji wa
simu za mkononi za Smartphone Samsung
Galaxy note 7 kwa kuwa zina matatizo ya betri.
TCRA pia imewataka wananchi ambao tayari
wanatumia simu hizo kuzizima na kuzirudisha
haraka katika maduka walikozinunua.
Meneja Mawasiliano wa TCRA, Innocent Mungy,
amewataka watanzania wajihadhari kuitumia
simu hiyo kwa kuwa Kampuni ya Samsung
yenyewe imeiondoa sokoni.
“Simu hiyo tayari Samsung wenyewe wamesema
ina matatizo ya betri na mara mbili sasa
imelipuka,” amesema Mungy.
Amewaomba watu wenye simu za aina hiyo
kuzirudisha madukani haraka wabadilishiwe ama
kurudishiwa fedha zao.
“Hata kama uliletewa zawadi kutoka nje ya nchi
nawaomba warudishe huko kuepuka matatizo
yanayoweza kujitokeza,” amesema Mungy.
Hivi karibuni simu aina hiyo iliyothibitishwa na
kampuni hiyo kuwa ilikuwa salama, ilishika moto
kwenye ndege nchini Marekani.
Simu hiyo inadaiwa kushika moto ikiwa
mikononi mwa abiria aliyekuwa kwenye shirika la
ndege la Southwest Airlines.
Shirika hilo liliwaondoa kwa dharura abiria
waliokuwa kwenye ndege iliyokuwa imepangiwa
kusafiri kutoka Louisville, Kentucky, hadi
Baltimore, Maryland muda mfupi kabla ya
kupaa.
Wednesday, October 12, 2016
Friday, October 7, 2016
Umuhimu wa wewe kuwa na blog
Sababu Kumi Kwa Nini Ni
Muhimu Wewe Kuwa na Blog.
Blog ni sehemu ndogo ya
mtandao wa internet ambapo
unaweza kuweka maoni au
maandiko yako na yakaonekana
dunia nzima. Tofauti na website
(tovuti), blog ni rahisi kuanzisha,
rahisi kuendesha na haihitaji
gharama kubwa, unaweza
kuendesha bure kabisa.
Kuna faida nyingi sana za wewe
kuwa na blog, katika makala,
tengeneza blog yako leo na upate
faida hizi tano niliongelea faida za
kiuchumi za kuwa na blog. Leo
nitaongelea faida za maendeleo
yako binafsi kwa kuwa na blog
yako. Hapa nazungumzia blog za
kuandika mambo yenye msaada
kwa watu wengine na sio za
kuripoti habari za udaku.
Hizi hapa ni sababu kumi kwa
nini ni muhimu wewe kuanzisha
blog yako leo hii na sasa hivi;
1. Kuendesha blog ni changamoto
na changamoto zinakufanya
ukue.
Wote tunajua kwamba bila ya
changamoto huwezi kukua kiakili
na kimawazo. Unapokuwa na blog
na kujiwekea ratiba ya kuandika
kwenye blog yako kuna wakati
inakuwa vigumu kabisa kwako
kuweza kuandika kitu chenye
maana. Lakini kama utaweza
kukaa chini na kuandika hata
kama hujisikii kuandika
inakujengea nidhamu kubwa na
utaweza kufanya mambo mengine
makubwa kwenye maisha yako.
2. Kujifunza mambo mapya.
Kuwa na blog ni sehemu nzuri
sana ya kujifunza mambo mazuri
tena kwa bure kabisa. Kwanza
kabisa utajifunza kuandika kitu
ambacho kitakusaidia sana
kwenye shughuli zako. Pili
utajifunza zaidi kuhusu mada
unazopendelea kuandika. Kwa
njia hii utajua mengi zaidi na
yatakusaidia kwenye kazi na
biashara zako.
3. Kuleta tofauti kwenye maisha
ya watu.
Chochote utakachoandika kwenye
blog yako ambacho kinakusaidia
wewe, jua kuna mtu mwingine pia
akikisoma kitamsaidia sana. Kwa
kuandika mambo ambayo
yanawasaidia watu na
wakakutafuta kukushukuru kwa
maandiko yako inakupa moyo na
kukufanya uandike zaidi. Hii
imekuwa ikitokea kwangu karibu
kila siku.
4. Unakuwa mtaalamu.
Unapokuwa na blog na ukachagua
mada fulani ukawa unaziandikia
mara kwa mara itakufanya wewe
kuwa mtaalamu wa mada hizo, na
baadae watu watakufuata kwa
ushauri. Kwa mfano kama una
blog na unaandika kuhusu kilimo
na ufugaji watu watakapokuona
ukiandika kwa muda mrefu
inakuwa rahisi kwao kukufata na
kutaka ushauri zaidi kuhusiana na
mambo hayo. Kwa njia hii
unaweza kutengeneza biashara
nzuri baadae.
5. Unayaweka mawazo yako
kwenye mtandao mkubwa.
Kwa kuwa na blog
iliyounganishwa na mitandao ya
kijamii ni rahisi kwa watu
kusambaza ujumbe wako kwenye
mitandao yao. Kama unaandika
vitu vyenye msaada kwenye
maisha ya watu ni rahisi kwao
kuwashirikisha wengine. Hii
itakuza sana blog yako na
itatengeneza fursa ya biashara
baadae.
6. Kujenga uzoefu mpya.
Kama umeajiriwa na kazi yako
haina hamasa kubwa ni rahisi
sana kuwa na msongo wa
mawazo. Ila kama ukiwa na blog
yako unakuwa na uzoefu mpya
ambapo utakuwa na utaratibu wa
kujifunza zaidi, kuandika na
kushirikisha dunia mawazo yako.
Pia itakuwa rahisi kwako
kujadiliana na wasomaji wako
kuhusu mada mbalimbali. Hivyo
badala ya kutumia internet yako
au ya ofisi kwa kuangalia mambo
yasiyo na maana kwenye
mtandao, hebu anzisha blog yako
leo na uanze kufurahia maisha
yako.
7. Kukutana na watu wapya.
Kwa kuwa na blog inayoandika
mambo mazuri inakuwa rahisi
sana kwako kukutana na watu
wapya na wa muhimu sana
kwenye mada unazoandika na
hata biashara. Kupitia blog
nimeweza kukutana na watu
wengi sana ambao mpaka sasa
tunashirikiana kibiashara na
katika mambo mengine muhimu
ya maendeleo.
8. Kuandika kuhusu maisha yako.
Kuwa na blog sio lazima uandike
mada kwa ajili ya watu wengine.
Unaweza kuwa na blog
utakayoandika safari ya maisha
yako. Uzuri ni kwamba unaweza
kuifanya blog kuwa private hivyo
ukaiona wewe tu au watu
utakaowaruhusu waione.
9. Kukabiliana na hofu zako.
Blog ni njia moja nzuri sana ya
kukabiliana na hofu zako. Kama
una hofu ya kupingwa hivyo
unashindwa kutoa maoni yako
kwenye vikao muhimu anzisha
blog yako leo. Mada yoyote
utakayoandika kwenye blog yako
lazima kuna mtu atakupinga, kwa
njia hii utajifunza kukabiliana na
upinzani wa aina hii na moja kwa
moja unaondoa hofu ya kupingwa.
Moja ya makala nilizokuwa
naandika mwanzoni kabisa
wakati naanzisha AMKA
MTANZANIA ni umuhimu wa watu
kujisomea vitabu ili kujiendeleza
binafsi. Nilipata upinzani mkubwa
sana kutoka kwa baadhi ya watu
kama vile niliwashikia fimbo na
kuwalazimisha. Iliniumiza sana
mwanzoni lakini baadae
nilijifunza ni sehemu ya uandishi.
10. Kutengeneza fursa za
kibiashara.
Kuwa na blog ni njia rahisi ya
kutengeneza fursa mpya za
biashara. Unaweza kutafutwa
kutokana na utaalamu wako
kwenye mada unayoandika na
kuwa mshauri mzuri. Unaweza
kuuza bidhaa zako zinazotokana
na mada unayoandika kupitia blog
yako. Kuna fursa nyingi za
kibiashara utazipata kwa kuwa na
blog.
Kama mpaka sasa huna blog
anzisha blog yako leo. Sahau
chochote kuhusu biashara au
kutengeneza fedha kupitia blog
hiyo. Anza kwa kutengeneza
utaalamu wako kupitia mada
unayochagua kuandika, baadae
fedha zitakufuata zenyewe.
Huna utaalamu wa kuanzisha
blog? Usihofu, kila kitu kiko hapa.
Kama umeweza kusoma hapa
basi nakuhakikishia unao uwezo
wa kuanzisha blog yako chini ya
nusu saa. Unachohitaji ni kuwa
na kompyuta na internet, baada
ya hapo utafuata maelekezo
rahisi na yenye picha kwenye
KISIMA CHA MAARIFA na
kukamilisha blog yako ndani ya
muda mfupi. Kama bado
hujajiunga na kisima cha maarifa
bonyeza maandishi hayo ya jina
na utapata maelekezo ya kujiunga
na kisima. Kwa shilingi elfu kumi
tu za kitanzania utaweza kupata
maarifa muhimu ambayo
yatakusaidia sana kuboresha
maisha yako. Utajifunza jinsi ya
kutengeneza na kukuza blog,
kuwa mwandishi mzuri,
kuanzisha na kukuza biashara na
mengine mengi muhimu. Karibu
sana.
Muhimu Wewe Kuwa na Blog.
Blog ni sehemu ndogo ya
mtandao wa internet ambapo
unaweza kuweka maoni au
maandiko yako na yakaonekana
dunia nzima. Tofauti na website
(tovuti), blog ni rahisi kuanzisha,
rahisi kuendesha na haihitaji
gharama kubwa, unaweza
kuendesha bure kabisa.
Kuna faida nyingi sana za wewe
kuwa na blog, katika makala,
tengeneza blog yako leo na upate
faida hizi tano niliongelea faida za
kiuchumi za kuwa na blog. Leo
nitaongelea faida za maendeleo
yako binafsi kwa kuwa na blog
yako. Hapa nazungumzia blog za
kuandika mambo yenye msaada
kwa watu wengine na sio za
kuripoti habari za udaku.
Hizi hapa ni sababu kumi kwa
nini ni muhimu wewe kuanzisha
blog yako leo hii na sasa hivi;
1. Kuendesha blog ni changamoto
na changamoto zinakufanya
ukue.
Wote tunajua kwamba bila ya
changamoto huwezi kukua kiakili
na kimawazo. Unapokuwa na blog
na kujiwekea ratiba ya kuandika
kwenye blog yako kuna wakati
inakuwa vigumu kabisa kwako
kuweza kuandika kitu chenye
maana. Lakini kama utaweza
kukaa chini na kuandika hata
kama hujisikii kuandika
inakujengea nidhamu kubwa na
utaweza kufanya mambo mengine
makubwa kwenye maisha yako.
2. Kujifunza mambo mapya.
Kuwa na blog ni sehemu nzuri
sana ya kujifunza mambo mazuri
tena kwa bure kabisa. Kwanza
kabisa utajifunza kuandika kitu
ambacho kitakusaidia sana
kwenye shughuli zako. Pili
utajifunza zaidi kuhusu mada
unazopendelea kuandika. Kwa
njia hii utajua mengi zaidi na
yatakusaidia kwenye kazi na
biashara zako.
3. Kuleta tofauti kwenye maisha
ya watu.
Chochote utakachoandika kwenye
blog yako ambacho kinakusaidia
wewe, jua kuna mtu mwingine pia
akikisoma kitamsaidia sana. Kwa
kuandika mambo ambayo
yanawasaidia watu na
wakakutafuta kukushukuru kwa
maandiko yako inakupa moyo na
kukufanya uandike zaidi. Hii
imekuwa ikitokea kwangu karibu
kila siku.
4. Unakuwa mtaalamu.
Unapokuwa na blog na ukachagua
mada fulani ukawa unaziandikia
mara kwa mara itakufanya wewe
kuwa mtaalamu wa mada hizo, na
baadae watu watakufuata kwa
ushauri. Kwa mfano kama una
blog na unaandika kuhusu kilimo
na ufugaji watu watakapokuona
ukiandika kwa muda mrefu
inakuwa rahisi kwao kukufata na
kutaka ushauri zaidi kuhusiana na
mambo hayo. Kwa njia hii
unaweza kutengeneza biashara
nzuri baadae.
5. Unayaweka mawazo yako
kwenye mtandao mkubwa.
Kwa kuwa na blog
iliyounganishwa na mitandao ya
kijamii ni rahisi kwa watu
kusambaza ujumbe wako kwenye
mitandao yao. Kama unaandika
vitu vyenye msaada kwenye
maisha ya watu ni rahisi kwao
kuwashirikisha wengine. Hii
itakuza sana blog yako na
itatengeneza fursa ya biashara
baadae.
6. Kujenga uzoefu mpya.
Kama umeajiriwa na kazi yako
haina hamasa kubwa ni rahisi
sana kuwa na msongo wa
mawazo. Ila kama ukiwa na blog
yako unakuwa na uzoefu mpya
ambapo utakuwa na utaratibu wa
kujifunza zaidi, kuandika na
kushirikisha dunia mawazo yako.
Pia itakuwa rahisi kwako
kujadiliana na wasomaji wako
kuhusu mada mbalimbali. Hivyo
badala ya kutumia internet yako
au ya ofisi kwa kuangalia mambo
yasiyo na maana kwenye
mtandao, hebu anzisha blog yako
leo na uanze kufurahia maisha
yako.
7. Kukutana na watu wapya.
Kwa kuwa na blog inayoandika
mambo mazuri inakuwa rahisi
sana kwako kukutana na watu
wapya na wa muhimu sana
kwenye mada unazoandika na
hata biashara. Kupitia blog
nimeweza kukutana na watu
wengi sana ambao mpaka sasa
tunashirikiana kibiashara na
katika mambo mengine muhimu
ya maendeleo.
8. Kuandika kuhusu maisha yako.
Kuwa na blog sio lazima uandike
mada kwa ajili ya watu wengine.
Unaweza kuwa na blog
utakayoandika safari ya maisha
yako. Uzuri ni kwamba unaweza
kuifanya blog kuwa private hivyo
ukaiona wewe tu au watu
utakaowaruhusu waione.
9. Kukabiliana na hofu zako.
Blog ni njia moja nzuri sana ya
kukabiliana na hofu zako. Kama
una hofu ya kupingwa hivyo
unashindwa kutoa maoni yako
kwenye vikao muhimu anzisha
blog yako leo. Mada yoyote
utakayoandika kwenye blog yako
lazima kuna mtu atakupinga, kwa
njia hii utajifunza kukabiliana na
upinzani wa aina hii na moja kwa
moja unaondoa hofu ya kupingwa.
Moja ya makala nilizokuwa
naandika mwanzoni kabisa
wakati naanzisha AMKA
MTANZANIA ni umuhimu wa watu
kujisomea vitabu ili kujiendeleza
binafsi. Nilipata upinzani mkubwa
sana kutoka kwa baadhi ya watu
kama vile niliwashikia fimbo na
kuwalazimisha. Iliniumiza sana
mwanzoni lakini baadae
nilijifunza ni sehemu ya uandishi.
10. Kutengeneza fursa za
kibiashara.
Kuwa na blog ni njia rahisi ya
kutengeneza fursa mpya za
biashara. Unaweza kutafutwa
kutokana na utaalamu wako
kwenye mada unayoandika na
kuwa mshauri mzuri. Unaweza
kuuza bidhaa zako zinazotokana
na mada unayoandika kupitia blog
yako. Kuna fursa nyingi za
kibiashara utazipata kwa kuwa na
blog.
Kama mpaka sasa huna blog
anzisha blog yako leo. Sahau
chochote kuhusu biashara au
kutengeneza fedha kupitia blog
hiyo. Anza kwa kutengeneza
utaalamu wako kupitia mada
unayochagua kuandika, baadae
fedha zitakufuata zenyewe.
Huna utaalamu wa kuanzisha
blog? Usihofu, kila kitu kiko hapa.
Kama umeweza kusoma hapa
basi nakuhakikishia unao uwezo
wa kuanzisha blog yako chini ya
nusu saa. Unachohitaji ni kuwa
na kompyuta na internet, baada
ya hapo utafuata maelekezo
rahisi na yenye picha kwenye
KISIMA CHA MAARIFA na
kukamilisha blog yako ndani ya
muda mfupi. Kama bado
hujajiunga na kisima cha maarifa
bonyeza maandishi hayo ya jina
na utapata maelekezo ya kujiunga
na kisima. Kwa shilingi elfu kumi
tu za kitanzania utaweza kupata
maarifa muhimu ambayo
yatakusaidia sana kuboresha
maisha yako. Utajifunza jinsi ya
kutengeneza na kukuza blog,
kuwa mwandishi mzuri,
kuanzisha na kukuza biashara na
mengine mengi muhimu. Karibu
sana.
Thursday, September 22, 2016
Progamu ya Windows 10 lawamani
Kampuni ya Microsoft imeshtumiwa na kundi la
haki za wateja la Consumer Rights dhidi ya
programu yake ya Windows 10.
Kundi hilo limesema limepokea mamia ya
malalamishi kuhusiana na uboreshaji wa
programu hiyo .
Watumiaji wa programu hiyo wanalazimika
kulipia komputa zao ili zirekebishwa kutokana na
faili kupotea.
Hatahivyo Microsoft ilitetea programu hiyo ya
Windows 10 na kusisitiza kuwa imekuwa ikitoa
usaidizi kupitia mtandaoni na vilevile kwa simu.
Imeongezea kwamba itawasaidia watu kupata
programu yenye manufaa na yenye usalama
dhabiti, kulingana na msemaji wa kampuni hiyo.
Kundi hio limesema watumiaji wamekuwa
wakilalamikia ujumbe uliokuwa ukijitokeza
kwenye tarakilishi na simu zao kila mara,
kuwahimiza kuboresha programu hiyo mbali na
programu hiyo ya Windows 10 kujiweka yenyewe
bila idhini ya mtumiaji.
Pia kumekuwa na malalamiko kuhusiana na
huduma mbaya kwa wateja wake,pale
wanapohitaji msaada kutoka kwa kampuni hiyo.
Programu hiyo ya windows 10 ilizinduliwa mwezi
Julai mwaka 2015, na hutumika katika
tarakilishi,simu aina ya smartphone, na vifaa vya
kusikilizia sauti vya HoloLens.
Monday, September 19, 2016
Magufuli: Serikali haikusababisha tetemeko Kagera
Rais wa Tanzania John Magufuli amewasihi
Watanzania kuwapuuza watu aliosema wanataka
kutumia maafa yaliyotokana na tetemeko la
ardhi eneo la Kagera kuchochea chuki dhidi ya
serikali.
Mikoa jirani ya Mwanza, Geita na Mara pia
iliathirika.
Dkt Magufuli amesema hata mataifa makubwa
yenye maendeleo makubwa ya uchumi na
teknolojia yanakumbwa na mitetemeko ya ardhi
na kusababisha vifo vya idadi kubwa ya wananchi
na uharibifu mkubwa wa mali.
Akiongea mwishoni mwa wiki, rais huyo alisema
mpaka sasa hakuna teknolojia ya kutabiri kutokea
kwa tetemeko la ardhi na kwamba tetemeko hili
halikuletwa na Serikali.
Tetemeko: Waathiriwa waomba msaada
Tanzania
Kwa Picha: Tetemeko la ardhi Tanzania
"Nilikuwa najaribu kuangalia kwa mfano nchi
kama China kwenye mwaka 2014 watu 617
walipoteza maisha, mwaka 2013 walipoteza watu
193, Mwaka 2010 walipoteza watu 2,998 mwaka
2008 China ilipoteza watu 98,712," alisema kwa
mujibu wa taarifa kutoka ikulu.
"Ukijaribu kuangalia Japan, nchi ambayo
imeendelea na ina utaalamu wa hali ya juu sana,
kwenye mwaka 2016 tarehe 14 mwezi wa nne
ilipoteza watu 6, baada ya siku mbili tarehe 16
mwezi wa nne 2016 tetemeko likatokea tena na
likaua watu 35 … mwaka 1923 liliua watu
142,800 na hiyo ni Japan."
Rais Magufuli alisema hayo Jumamosi katika
ikulu ya Dar es Salaam alipokuwa akipokea
mchango wa fedha taslimu kiasi cha Dola za
Kimarekani laki mbili (Tshs 437 milioni) kutoka
kwa Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni
kusaidia walioathiriwa na tetemeko hilo lililotokea
wiki moja iliyopita.
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta alituma mchango
wa mabati, blanketi na magodoro vyenye thamani
ya shilingi za Kitanzania milioni 115 kuwasaidia
waathiriwa.
Watu 17 walifariki, 440 wakajeruhiwa na nyumba
2,063 zikabomoka kutokana na tetemeko hilo kwa
mujibu wa serikali ya Tanzania.
Nyumba 14,081 zipo katika hali hatarishi na
nyumba 9,471 zimepata uharibifu mdogo, huku
watu 126,315 wakihitaji misaada mbalimbali.
Rais Magufuli ameahidi kuwa Serikali itahakikisha
inarekebisha miundombinu iliyoharibika lakini
akawataka wananchi wajipange kurekebisha
nyumba zao kwa kuwa Serikali pekee yake
haitaweza kujenga nyumba zote zilizobomoka.
Kwa mujibu wa Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim
Majaliwa, kufikia mwishoni mwa wiki shilingi za
Kitanzania bilioni tatu nukta sita (dola 1.6
milioni) zilikuwa zimepatikana za kuwasaidia
waathiriwa.
Watanzania kuwapuuza watu aliosema wanataka
kutumia maafa yaliyotokana na tetemeko la
ardhi eneo la Kagera kuchochea chuki dhidi ya
serikali.
Mikoa jirani ya Mwanza, Geita na Mara pia
iliathirika.
Dkt Magufuli amesema hata mataifa makubwa
yenye maendeleo makubwa ya uchumi na
teknolojia yanakumbwa na mitetemeko ya ardhi
na kusababisha vifo vya idadi kubwa ya wananchi
na uharibifu mkubwa wa mali.
Akiongea mwishoni mwa wiki, rais huyo alisema
mpaka sasa hakuna teknolojia ya kutabiri kutokea
kwa tetemeko la ardhi na kwamba tetemeko hili
halikuletwa na Serikali.
Tetemeko: Waathiriwa waomba msaada
Tanzania
Kwa Picha: Tetemeko la ardhi Tanzania
"Nilikuwa najaribu kuangalia kwa mfano nchi
kama China kwenye mwaka 2014 watu 617
walipoteza maisha, mwaka 2013 walipoteza watu
193, Mwaka 2010 walipoteza watu 2,998 mwaka
2008 China ilipoteza watu 98,712," alisema kwa
mujibu wa taarifa kutoka ikulu.
"Ukijaribu kuangalia Japan, nchi ambayo
imeendelea na ina utaalamu wa hali ya juu sana,
kwenye mwaka 2016 tarehe 14 mwezi wa nne
ilipoteza watu 6, baada ya siku mbili tarehe 16
mwezi wa nne 2016 tetemeko likatokea tena na
likaua watu 35 … mwaka 1923 liliua watu
142,800 na hiyo ni Japan."
Rais Magufuli alisema hayo Jumamosi katika
ikulu ya Dar es Salaam alipokuwa akipokea
mchango wa fedha taslimu kiasi cha Dola za
Kimarekani laki mbili (Tshs 437 milioni) kutoka
kwa Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni
kusaidia walioathiriwa na tetemeko hilo lililotokea
wiki moja iliyopita.
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta alituma mchango
wa mabati, blanketi na magodoro vyenye thamani
ya shilingi za Kitanzania milioni 115 kuwasaidia
waathiriwa.
Watu 17 walifariki, 440 wakajeruhiwa na nyumba
2,063 zikabomoka kutokana na tetemeko hilo kwa
mujibu wa serikali ya Tanzania.
Nyumba 14,081 zipo katika hali hatarishi na
nyumba 9,471 zimepata uharibifu mdogo, huku
watu 126,315 wakihitaji misaada mbalimbali.
Rais Magufuli ameahidi kuwa Serikali itahakikisha
inarekebisha miundombinu iliyoharibika lakini
akawataka wananchi wajipange kurekebisha
nyumba zao kwa kuwa Serikali pekee yake
haitaweza kujenga nyumba zote zilizobomoka.
Kwa mujibu wa Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim
Majaliwa, kufikia mwishoni mwa wiki shilingi za
Kitanzania bilioni tatu nukta sita (dola 1.6
milioni) zilikuwa zimepatikana za kuwasaidia
waathiriwa.
Thursday, September 15, 2016
Monday, August 29, 2016
Udhaifu mkubwa wagunduliwa kwenye simu za iPhone
Uvumbuzi huo ulifanyika baada ya wakili anayetetea haki za kibinadamu kutoa taarifa kwa watafiti wa masuala ya usalama kuhusu jumbe alizozipata bila kutarajia.
Waligundua taarifa nyingine tatu za awali zisizofahamika zilizovuja kutoka kwa mfumo wa Apple .
tangu wakati huo Apple imetoa taarifa ya kuelezea tatizo hilo na namna linavyoshughulikiwa na kampuni hiyo.
Makampuni mawili ya usalama yaliyohusika , Citizen Lab na Lookout, yamesema yamehifadhi taarifa hizo za uvumbuzi hadi suala hilo litakapopatiwa ufumbuzi.
Kampuni ya Citizen Lab inasema , simu yake ya iPhone 6 ingekuwa ''imefunguliwa'' , ikimaanisha mfumo mwingine ambao haukuidhinishwa ungelikuwa umewekwa kwenye simu yake.
"Na kama simu yake ingeathiriwa , ingekuwa kifaa cha upelelezi cha digitali ndani ya mfuko wake wa nguo, yenye uwezo wa kung'amua taarifa kwa kutumia kamera na kipaza sauti cha simu kurekodi simu zake za WhatsApp na Viber , kuingia kwenye jumbe alizotuma kwa simu na kuweza kumfuatilia kote anakoenda," ilisema kampuni ya Citizen Lab.
"Hatuna taarifa zozote za matukio ya aina hii ya iPhone suala linalofanya tukio hili kuwa la nadra ."
Watafiti wanasema wanaamini mfumo huu wa uchunguzi unaohusisha spyware ulibuniwa na kampuni ya NSO Group, ya Israel ya ''vita vya mitandaoni"
Wednesday, August 24, 2016
Belle 9 amejiunga na kambi ya WCB, tayari kaanza kufanya mazoezi na Diamond
Baada ya vocalist, Rich Mavoko kusaini WCB ya Diamond, huwenda msanii wa muziki wa R&B kutoka Morogoro, Belle 9 na yeye akasaini ndani ya label hiyo.
Muimbaji huyo anayefanya vizuri na wimbo ‘Bugger Movie Selfie’ ameonekana akifanya mazoezi ya bendi ya Diamond katika ofisi za WCB.
Kwa mujibu wa kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Belle pamoja na Diamond wameonekana wakiimba wimbo ‘Mdogo Mdogo’ kwa pamoja huku wakicheza.
Hatua hiyo imefufua matumaini mapya kwa mashabiki wa kumuziki kuona huweza WCB ikamsaini msanii hiyo kama ilivyofanya kwa Rich Mavoko.
Kwa sasa label ya WCB ina wasanii wanne, Harmonize, Rich Mavoko, Raymond aka Rayvany pamoja Queen
Muimbaji huyo anayefanya vizuri na wimbo ‘Bugger Movie Selfie’ ameonekana akifanya mazoezi ya bendi ya Diamond katika ofisi za WCB.
Kwa mujibu wa kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Belle pamoja na Diamond wameonekana wakiimba wimbo ‘Mdogo Mdogo’ kwa pamoja huku wakicheza.
Hatua hiyo imefufua matumaini mapya kwa mashabiki wa kumuziki kuona huweza WCB ikamsaini msanii hiyo kama ilivyofanya kwa Rich Mavoko.
Kwa sasa label ya WCB ina wasanii wanne, Harmonize, Rich Mavoko, Raymond aka Rayvany pamoja Queen
WA KAGERA MULEBA TWENDE SAWA,,,,,,,FIESTA KAGERA IMOO!Nunua tiketi yako kwa TigoPesa kwa Sh 4000TU.Piga *150*01# chagua TUMA PESA kisha TUMA KWA NAMBA YA SIMU (namba ya mpokeaji ingiza 0678 888 888).Hakikisha unasalio la Sh 4500 katika akaunti ya TigoPesa
Friday, August 19, 2016
Wednesday, August 17, 2016
Tuesday, August 16, 2016
Monday, August 15, 2016
Harmonize achekelea kupata 'collabo' MONDAY , 15TH AUG , 2016 Msanii wa Bongo Flava Harmonize amesema kitendo cha Dully Sykes kumpigia simu na kumwambia anataka kumshirikisha katika kazi yake kilimfanya aone fahari na kuahidi kuheshimu uamuzi huo kwa kuwa Dully angeweza watafuta wasanii wengine.
Subscribe to:
Posts (Atom)