Monday, August 15, 2016

Harmonize achekelea kupata 'collabo' MONDAY , 15TH AUG , 2016 Msanii wa Bongo Flava Harmonize amesema kitendo cha Dully Sykes kumpigia simu na kumwambia anataka kumshirikisha katika kazi yake kilimfanya aone fahari na kuahidi kuheshimu uamuzi huo kwa kuwa Dully angeweza watafuta wasanii wengine.


No comments:

Post a Comment