Tuesday, July 12, 2016

Viongozi wetu

Katika hali ya kawaida, kiongozi aliyechaguliwa na watu hawezi kupata jeuri ya kuwafanyia hiana, kuwaburuza na kuwaongoza kibabe au kiimla. Ukiona kiongozi aliyekalia nafasi inayopatikana kwa kuchaguliwa anafanya mabaya hayo, jua hakuchaguliwa huyo, kaingia kwa hila, kaiba kura. Katika hali ya kawaida, watu huchagua viongozi wenye kurudisha shukrani kwa kutenda mema. Anayewafanyia mabaya, analipa kisasi cha kutochaguliwa.

Audio | Spince Seseme - Ayoyo | Mp3 Download

Audio | Man fongo - Hainaga Ushemeji | Mp3 Download



                                                                                             

Audio | Herry Ft One The Incredible X Kusah - Mwajiriwa | Mp3 Download

                                                                                             

Audio | Diamond Platnumz-I love you {EXCLUSIVE} | Mp3 Download